Tuesday, August 11, 2009

WARATIBU ELIMU KATA WATAKIWA KUZUNGUMZA NA WAZAZI

WARATIBU Elimu kata nchini wametakiwa kuwaelimisha wazazi kuhusu uhusiano mzuri kati ya walimu,wasimamizi wa shule na wazazi ili mwalimu awe na mazingira mazuri ya kufanya kazi.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu,Bw.Mathew Sedoyeka wakati akifunga semina ya waratibu elimu kata wa wilaya za Karatu,Ngorongoro na manispa ya Arusha iliyofanyika wilayani humo,

No comments:

Post a Comment